Modern Swahili Book: Giveaway.. Enter now for your chance to win. From Oct 7, 2014 - Nov 6, 2014

Modern Swahili By Pauline Mandari aka @SwahliMom

When your partner speaks kindly to you, encourages you and motivates you. How if he/she speaks to you in your first love language? The study found out that it adds more connection into your relationship. If you want to feel more passion in your life and your relationship then teach your significant other your primary language. Understanding your partner's primary love language will spice up your relationship. If you have tried to teach your significant other but he/she doesn't seem to be getting better...treat this book as your last resort.. Get it now at Amazon.com and amazon.co.uk. ... You won't regret it.... 

My book is available now in paperback and in kindle edition and don't forget to leave your honesty review.... http://www.amazon.com/Modern-Swahili-Pauline-Mandari/dp/1502439786/ref=sr_1_14?ie=UTF8&qid=1412086958&sr=8-14&keywords=modern+swahili 

 But you can get your free copy by entering a giveaway promotion from October 7, 2014 to November 6, 2014.




Goodreads Book Giveaway

Modern Swahili by Pauline Mandari

Modern Swahili

by Pauline Mandari

Giveaway ends November 06, 2014.
See the giveaway details at Goodreads.
Enter to win

Gazeti la Watoto Linaloandikwa na Watoto

Mtoto yeyote mwenye umri wa miaka 6 - 14 anaruhusiwa kutuma picha ya kuchora, mashahiri au riwaya fupi fupi 

Wazazi au walimu wanatakiwa kuwahamasisha watoto wao na kuwasaidia katika kutafuta ideas mbalimbali ili kufankisha kazi yake iwe ya kiwango cha juu na kutuweza kuitumia katika gazeti letu.

Ili kuhamasisha watoto wengi kushiriki sasa hivi kama picha, shairi au riwaya ya mtoto wako itatumika katika gazeti letu basi mtoto wako atapatiwa $20 na certificate ya kushiriki. Wale wengine wote ambao picha zao zitakua nzuri lakini hazikufikia kiwango cha sisis kuweza kuzitumia katika gazeti letu basi tutaziweka katika website yetu na kuwatumia certificate ya kushiriki. 

Wengine wote ambao wanatututmia lakini hazikufanikiwa kutumika usikate tamaa kujaribu tena. Na kwa wale wote ambao kazi zao zitakazokua nzuri na wakitutumia mara kwa mara tukazitumia katika gazeti letu basi tutaweza kuwatumia katika kama illustrators wa riwaya tunazozipokea na kuwalipa. 

Sio lazima kuchapisha  riwaya. yako. Unaweza kuandika kwa kutumia kalamu halafu unapiga picha kila ukurasa na kututumia. Lakini hakikisha mwandiko wako unasomeka vizuri au omba mtu mwenye mwandiko mzuri akuandikie.  Riwaya ambazo hatutaweza kusoma palagraph ya kwanza hatutaiangalia tena au kukuulizia uandike tena viuri. Riwaya yako isizidi maneno 1500

Mashairi sio lazima yawe yanaishia na maneno yanayofanana. 

Mwisho kwa wale watakaopenda kutangaza kwenye gazeti letu ili tuweze kuwahamasisha watoto wengi zaidi angalia media kit yetu hapa katika link hii. 

http://www.kwanzapress.com/Toto%20Shine%20media%20kit.pdf



Introducing Wachipoda

Introducing new Facebook page



Wachipoda  for children and teens

https://www.facebook.com/wochipoda

Introducing Toto Shine Magazine





I’m so excited that one of the projects that is so dear to my heart (to empower women and children) for the last 3 years I have been working very hard on it, is soon to become a reality…

The Toto Shine Magazine is now looking for drawings, poems or short stories from children ages 6 -14.

This magazine is for the whole East Africa region and beyond, so we want as many kids from Tanzania as possible to participate.  

I do remember when I was a little kid Mama na Mwana show read something I sent to them on the radio that was one of my best days. Also I answered some questions and they mailed me a congratulatory letter for being one of the winners. That little piece of paper I received was one of my inspirations growing up and I kept it for so many years.....

Motivate your kids to participate.  Thanks to my very good friends who believe me on this project so far we pay US $20  if we use each drawing, story or poem on our magazine. 

It is not just funny to earn money while still a kid but its also empowers. That little achievement your child, niece or nephew will receive can be a solid foundation of his/her ambition and determination to do much more in life. 

The phone app is coming soon to easily update your kid’s work direct from your phone or tablet.  

Tell you kids, nieces and nephews and everyone you know. From abstract art and traditional drawing to sketching, painting, or doodling or perhaps it’s something that symbolizes the culture or maybe it’s a moment in her/his life that stands out. It could be a character he/she has created, or a drawing of a favorite pet. We are looking for it all. 

For poems we prefer non-rhyming poetry (free verse poems) though if your kid prefers rhyming poetry don’t hesitate to send it to us. 

For short stories 1500 words or fewer works best for our readers’ ages. 

For a chance your kid to be accepted make sure you or a teacher carefully read his/her writing or look at his/her artwork before submitting, and then consider any suggestions to make it better. Often, there are events in stories that don’t make sense, and having someone read it and make suggestions always helps! 

You or your child/niece/nephew must be 6-14 years old to participate.

Follow us at @totoshinemag and facebook ID Toto Shine for more updates 
The website www.totoshine.com is soon coming 

Also for those who would like to support our effort you can download our media kit at http://www.kwanzapress.com/Toto%20Shine%20media%20kit.pdf

Best Regards,
Pauline 

Bloggers Association & Shindano la Mwaka huu

Okay guys ...Naona watu wengi hawakuitikia wito wa Bloggers Association of Tanzania, hivyo hiyo site nimeiondoa na jina linaexpire mwezi ujao hivyo sita renew tena.....Nilikua natafuta mahali pa kusalvage shindano hii ambalo linaonyesha bado kupendwa na watu wengi.

Baada ya kusema  kuwamwaka huu sitaweza kufanya shindano hili peke yangu bahati nzuri kuna uwezekano wa shindano hili kudhaminiwa na kampuni moja ua makampuni kadhaa yaliyopo Tanzania...Sio kuwa ni kundi la watu wanalichukua kama hapo nilivyotangaza bali ni kampuni kadha za Tanzania (majina tutayatangaza) kila kitu kikisha kamilika watadhamini shindano hili. kwa mwaka mmoja au kila kila mwaka  pia hilo bado sijajua. Habari kamili na kampuni hiyo au hizo tutawaeleza kila kitu kitakapo kamilika. 

Hivyo tusije kulaumiana vitu vikiwa tayari itatangazwa na hiyo kamati ikiamua ni tarehe ngapi itatangazwa. Make sure everything is ready to go with your blog...Ikiwa na maana hakikisha una update blog yako often na ina quality inayohitajika.

Muda wa shindano utatangazwa. Zawadi zitatangazwa na siku ya kukabidhi zawadi hizo zitatangazwa... Mahali pa sherehe za kupokea zawadi hizo 100% itakua ni Dar Es Salaam, Tanzania. 

Kutakua na kundi linalosimamia hivyo uteuzi wao ndio utakua wa mwisho... Hivyo anza kuhakikisha wasomaji wako wanafollow up na blog yako na wapo aware na wawaambie wenzao. 

Good luck.......

Shindano letu la 2013 limeshakwisha

Kila siku bado napokea majina ya kupendekezwa kwa blog mbalimbali na wengine wanafikia hatua ya kujaza form za kupiga kura za shindano lililopita. tafadhai tambua kua:-


1. Shindano la mwaka huu limeshakwisha
2. Hizi kura ukipiga au kuzijaza ingawaje ninazipikea hazina maana yeyote sasa hivi.
3. Mwaka kesho shindano lingine likifanyika halitakua linasimamiwa na mimi. 
4. Kama kuna maelekezo yeyote ya shindano la mwaka kesho nikiyapata nitapost hapa. 

Badges na Certificates

Kama nilivyosema katika post iliyopita badges na certificates zote nitaziweka hapa hivyo zote zipo hapa. Kila mtu achukue ya kwake hapa hapa. Nimejaribu kuweka kwa original size kama mtu anashida ya kupunguza badge yake na hajui jinsi ya kupunguza aniandikie nitamsaidia kupunguza kwa size anayoitaka.

Sitatuma tena certificate au badge yeyote katika email accounts za watu hivyo kila mtu cha kufanya ni kila mtu kudownload ya kwake hapa kwa urahisi. Nimejitahidi sana kuhakikisha viko sahihi but always a fresh set of eyes helps. Kama unaona nimekosea jina au nafasi yako katika ushiriki naomba uniandikie nitarekebisaha hayo kabla hujadownload cheti chako.

1. Naomba usome huku kwenye blog kama jibu hujapata ndio uniandikie swali. Maswali mengi ninayoyapokea majibu yake yapo humu. 

2. Kama nilivyosema kila mtu anachotakiwa kufanya ni kudownload cheti chako hapa havina tofauti yeyote na mimi kuvituma katika email account.

3. Vyeti nilivitengeneza na kuupload hapa vikiwa katika original size. Nilivitest katika A3, A4, A5, B5, letter, legal & executive size papers. Hivyo ukidownoad make sure unasave katika original size ili kama unataka kuprint uweze kuprint katika paper ya size hizo bia matatizo yeyote.  

4. Kama unataka nikutengenezee badge katika size yako unayotaka tafadhali ukiandika katika heading andika "badges". Email account hii inapokea emails nyingi sana kwa siku na sina muda wa kufungua kila email inayoingia. Hivyo heading inayoonyesha kuwa unahitaji kuresize badge yako itakua rahisi kwa mimi kuiona. Na kwenye subject niambie ni kiasi gani au unipe blog yako na wapi unataka kuiweka ili niangali kuwa ni size gani. Ukiandika tu "nipunguzie kidogo" siwezi kujua kidogo kwako ni kidogo kiasi gani? 

5. Mwisho wa kupokea emails za kutaka kupunguziwa badge au jambo lolote kuhusu shindano la mwaka huu ni Nov 30th. 

6. Sorry, siwezi kuvituma hivi vyeti kwa mail kwa wale walionitumia anuani zao sitaweza kufanya hivyo.

7. Kwa wale wanaotaka kuja kuvichukua Dar pia hawataweza kufanya hivyo kwa sababu siishi Dar- Es-Salaam au Tanzania kwa sasa.

Shukrani sana kwa wote walioshiriki, wote wale waliopendekeza blogs mbalimbali na wale wote waliochukua muda wao wakati wa kupiga kura.

Design/Graphic Design Blog Badges

Chagua badge yako sahihi hapa. Kama hii badge ni kubwa kuliko sehemu unayotaka kuiweka na hujui jinsi ya kuipunguza kufikia size unayoitaka basi usisite kuniandikia nikutengenezee katika size unayoitaka.
















Newcomer Blog Badges

Chagua badge yako sahihi hapa. Kama hii badge ni kubwa kuliko sehemu unayotaka kuiweka na hujui jinsi ya kuipunguza kufikia size unayoitaka basi usisite kuniandikia nikutengenezee katika size unayoitaka.

































Inspiration Blog Badges

Chagua badge yako sahihi hapa. Kama hii badge ni kubwa kuliko sehemu unayotaka kuiweka na hujui jinsi ya kuipunguza kufikia size unayoitaka basi usisite kuniandikia nikutengenezee katika size unayoitaka.


























Entertaiments Blog Badges

Chagua badge yako sahihi hapa. Kama hii badge ni kubwa kuliko sehemu unayotaka kuiweka na hujui jinsi ya kuipunguza kufikia size unayoitaka basi usisite kuniandikia nikutengenezee katika size unayoitaka.



















Education Blog Badges

Chagua badge yako sahihi hapa. Kama hii badge ni kubwa kuliko sehemu unayotaka kuiweka na hujui jinsi ya kuipunguza kufikia size unayoitaka basi usisite kuniandikia nikutengenezee katika size unayoitaka.




















General Blog Badges

Chagua badge yako sahihi hapa. Kama hii badge ni kubwa kuliko sehemu unayotaka kuiweka na hujui jinsi ya kuipunguza kufikia size unayoitaka basi usisite kuniandikia nikutengenezee katika size unayoitaka.





















Food Blog Badges

Chagua badge yako sahihi hapa. Kama hii badge ni kubwa kuliko sehemu unayotaka kuiweka na hujui jinsi ya kuipunguza kufikia size unayoitaka basi usisite kuniandikia nikutengenezee katika size unayoitaka.




















Religion Blog Badges

Chagua badge yako sahihi hapa. Kama hii badge ni kubwa kuliko sehemu unayotaka kuiweka na hujui jinsi ya kuipunguza kufikia size unayoitaka basi usisite kuniandikia nikutengenezee katika size unayoitaka.
















Sports Blog Badges

Chagua badge yako sahihi hapa. Kama hii badge ni kubwa kuliko sehemu unayotaka kuiweka na hujui jinsi ya kuipunguza kufikia size unayoitaka basi usisite kuniandikia nikutengenezee katika size unayoitaka.